Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, April 23, 2011

Mahari

Jamaa alipoenda kutoa posa na hii ndio mahari aliyotajiwa alete.
1. Panga la baba
2. Sime ya mama
3. Shoka la mjomba
4. Mkuki wa shangazi
5. Upinde wa shemeji na mbegu za bangi.

No comments:

Post a Comment