Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 22, 2011

Mtoto akisali mbele ya wazazi na wageni

Ee Mungu nashukuru kwa kunipa wazazi wakarinu, nashukuru kwa kuwaleta wageni hawa waliomaliza chakula changu. Naomba usiwalete tena wakati nwa kula, mbariki huyu kijana aliekua anacheza mieleka na dada kitandani na kumlisha sausage iliyo ndani ya suruali yake. Wabariki wadada walio uchi ndani ya simu ya baba ili wapate nguo, mwisho wabariki wanaume waliokuja kulala na mama wakati baba yupo safariniili wawe na kwao amen.

No comments:

Post a Comment