Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, April 10, 2011

Mahari

Jamaa mmoja alienda kutoa mahari, akatajiwa atoe mahari ya shilingi milioni tano. Jamaa akashtuka na kunena "hee!!! Milioni ngaaapi? Bora ninde hapo mtaa wa jirani wenyewe wanapokea laki moja na nusu tu unabeba mke"

No comments:

Post a Comment