Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, April 25, 2011

Sharobaro

Changudoa mmoja alimuona sharobaro mmoja na kujisogeza sogeza.
Changudoa: Kaka samahani, sura yako sio ngeni.
Sharobaro akajibu ''utakua umeniona kwenye noti mpya meeen.''

No comments:

Post a Comment