Mtoto: Mama! Baba si ameenda xmas?
Mama: Ndio mwanangu.
Mtoto: Mpigie simu muambie mbona xmas yeye amekuja huku?
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Sunday, December 25, 2011
Xmas
Chekazone inawatakia wadau wote Heri ya Krismas.
Kucheka ni moja ya kuwa na afya njema.
Mungu awatangulie kwa kila jambo.
Kucheka ni moja ya kuwa na afya njema.
Mungu awatangulie kwa kila jambo.
Saturday, December 24, 2011
Washua nao...
Mshua mmoja akimuuliza mwenzake baada ya kukutana airport, "rafiki yangu unaenda wapi tena?"
Mshua nae akajibu "nna hisi nna ka-malaria naenda india kucheki."
Mshua nae akajibu "nna hisi nna ka-malaria naenda india kucheki."
Ombaomba tajiri
Ombaomba: Nimeandika njia 100 za kuwa tajiri.
Mpita njia: Sasa mbona unaomba bado?
Ombaomba: Hii ni njia mojawapo ya kuwa tajiri.
Mpita njia: Sasa mbona unaomba bado?
Ombaomba: Hii ni njia mojawapo ya kuwa tajiri.
Masumbwi
Kwenye masumbwi:
Kocha: Kwa nini hauzuii ngumi za mpinzani wako?
Mpiganaji: We huoni nnkivyozizuia kwa uso wangu?
Kocha: Kwa nini hauzuii ngumi za mpinzani wako?
Mpiganaji: We huoni nnkivyozizuia kwa uso wangu?
Mpenda bia
Jamaa: Ndugu yangu kwa nini unapenda sana bia?
Mlevi: We hujui? Bia ni tamu mno.
Jamaa: Tamu mno kama nini sasa?
Mlevi: Tamu kama bia.
Mlevi: We hujui? Bia ni tamu mno.
Jamaa: Tamu mno kama nini sasa?
Mlevi: Tamu kama bia.
Friday, December 23, 2011
Walevi bwana
Walevi wawili maongezini:
Mlevi 1: Nna mpango wa kuinunua Dunia.
Mlevi 2: Mhh! Huwezi...
Mlevi 1: Kwa nini siwezi?
Mlevi 2: Siiuzi tu.
Mlevi 1: Nna mpango wa kuinunua Dunia.
Mlevi 2: Mhh! Huwezi...
Mlevi 1: Kwa nini siwezi?
Mlevi 2: Siiuzi tu.
Si kavunja cha kale
Mhusika wa jumba la mambo ya kale akilalamika "Umevunja seti ya vikombe vilivyotumika miaka 800 iliyopita."
Mgeni/mtalii: Oh asante Mungu mi nlijua ni vipya.
Mgeni/mtalii: Oh asante Mungu mi nlijua ni vipya.
Fundi aje...
Rafiki: Ulisema ungemleta fundi kengele ya, mlangoni siku tatu zilizopita nkaona kimya.
Rafiki 2: Nlimtuma na alikuja akabonyeza kengele wee hamna aliemfungulia.
Rafiki 2: Nlimtuma na alikuja akabonyeza kengele wee hamna aliemfungulia.
Tip...
Mhudumu akipewa tip baada ya kumpokea mgeni hadi kwenye chumba cha hotel.
Mhudumu: Mh mh! Mzee tip kidogo.
Mzee akampatia 100Tsh.
Mhudumu: Mzee hapa kama unanitukana angalau ingekua 200Tsh.
Mzee: Siwezi kukutukana mara mbili.
Mhudumu: Mh mh! Mzee tip kidogo.
Mzee akampatia 100Tsh.
Mhudumu: Mzee hapa kama unanitukana angalau ingekua 200Tsh.
Mzee: Siwezi kukutukana mara mbili.
Mtoto wa nani?
Mwanamke 1: Nna wasi wasi mume wangu anani-cheat.
Mwanamke 2: Unahisi nini haswaa?
Mwanamke 1: Watoto wawili wa mwisho nlowazaa hajafanana nae.
Mwanamke 2: Unahisi nini haswaa?
Mwanamke 1: Watoto wawili wa mwisho nlowazaa hajafanana nae.
Jumba la makumbusho
Walipoeenda kusoma vikaratasi vya maoni ya wageni watembeleao jumba la makumbusho, walikuta kikaratasi kimeandikwa hivi:
"Kulikua na mvua kubwa nje, ndio maana nkaingia humu. Asanten kwa hifadhi"
"Kulikua na mvua kubwa nje, ndio maana nkaingia humu. Asanten kwa hifadhi"
Tangazo mume
Mwanamke 1: Nliona tangazo gazetini umetanga kumchoka mumeo ?
Mwanamke 2: Nimepata barua 200 zikisema nichukue waume zao.
Mwanamke 2: Nimepata barua 200 zikisema nichukue waume zao.
Thursday, December 22, 2011
Kupima damu
Jamaa alienda pima malaria, nesi akamtoboa damu ikawa haitoki, akatoboa tena ikawa vile vile. Nesi akaamua kunyonya kidole ili itoke.
Jamaa kuona vile akanena "nesi na mkojo hautoki"
Jamaa kuona vile akanena "nesi na mkojo hautoki"
Msosi fasta
Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "aisee dah! Ile hotel iko fasta kukuandalia msosi sijawahi ona."
Mwenzake akamjibu "hehe we hujui? Mwenye hotel anafuga simba wawili jikoni"
Mwenzake akamjibu "hehe we hujui? Mwenye hotel anafuga simba wawili jikoni"
Wezi wawili
Mwizi 1: Tumesahau kuhesabu pesa kiasi gani tumeiba.
Mwizi 2: Ondoa shaka kesho magazeti yatasema ni Tsh ngapi?
Mwizi 2: Ondoa shaka kesho magazeti yatasema ni Tsh ngapi?
Ndani ya lecture
Mwanafunzi 1: Ukweli sielewi kabisa Prof. Anachotufundisha.
Mwanafunzi 2: Prof. Mwenyewe anasemaga hajui anachotufundisha.
Mwanafunzi 2: Prof. Mwenyewe anasemaga hajui anachotufundisha.
Huyu nae
Mpita njia: umesema umepoteza pochi ndani sasa mbona upo nje unaitafuta?
Mpoteza pochi amajibu: Ndani kuna giza siwezi iona.
Mpoteza pochi amajibu: Ndani kuna giza siwezi iona.
Walevi wawili
Walevi wawili walikiongea njiani kurudi makwao:
Mlevi 1: Hiivi nani wanakua wasikilizaji pande zote mke na mume wakipayukiana?
Mlevi 2: Aah iyo simpoo si majirani...
Mlevi 1: Hiivi nani wanakua wasikilizaji pande zote mke na mume wakipayukiana?
Mlevi 2: Aah iyo simpoo si majirani...
Hakimu na mtuhumiwa
Hakimu: Mara ya mwisho nlikuonya usirudi tena hapa mahakamani hujanisikia.
Mtuhumiwa: Mh. Hakimu niliwaambia hawa polisi ila hawakunisikiliza.
Mtuhumiwa: Mh. Hakimu niliwaambia hawa polisi ila hawakunisikiliza.
"Diet"
Jamaa akipewa ushauri na dokta "sasa uanze diet, pata yai 1 tu na nusu kikombe cha maziwa"
Mpewa ushauri akauliza "sawa dokta, nifanye ivyo kabla au baada ya lunch?"
Mpewa ushauri akauliza "sawa dokta, nifanye ivyo kabla au baada ya lunch?"
Liniumezaliwa?
Mwalimu: Fred umezaliwa tarehe ngapi?
Fred: Tarehe 26 Septemba.
Mwalimu: Mwaka gani?
Fred: Kila mwaka.
Fred: Tarehe 26 Septemba.
Mwalimu: Mwaka gani?
Fred: Kila mwaka.
Wednesday, December 21, 2011
Mtu na mdeni wake
Jamaa alikua anamdai rafiki yake hela yake siku nyingi na kupeana kalenda tuu juu ya kulipana kila wakutanapo. Siku 1 wakati wapo bar...
Ghafla majambazi hao mara kusanyeni wallet, simu nk... Jamaa akatoa bahasha na kumpa rafiki yake.
Rafiki akauliza "hiki nini wanipatia?"
Akajibu "si ile pesa yakl unayonidai"
Ghafla majambazi hao mara kusanyeni wallet, simu nk... Jamaa akatoa bahasha na kumpa rafiki yake.
Rafiki akauliza "hiki nini wanipatia?"
Akajibu "si ile pesa yakl unayonidai"
Ujumbe wa dokta
Jamaa aliamka asubuhi na kukuta ujumbe toka kwa dokta aliemfanyia upasuaji siku mbili zilizopita ukisema hivi:
"Tafadhali fika hospitalini mara moja, nimeshindwa nunua gazeti leo kuna sarafu yangu ya 100Tsh ilidondokea tumboni wakati nakufanyia upasuaji"
"Tafadhali fika hospitalini mara moja, nimeshindwa nunua gazeti leo kuna sarafu yangu ya 100Tsh ilidondokea tumboni wakati nakufanyia upasuaji"
Mume wa 3
Mwanamke: Mungu wangu unaonekana kama mume wangu wa tatu.
Mwanaume: Kwani una wanaume wangapi waliokuoa?
Mwanamke: Wawili tu mpaka sasa.
Mwanaume: Kwani una wanaume wangapi waliokuoa?
Mwanamke: Wawili tu mpaka sasa.
Kuungama kanisani
Kijana alienda kuungama kwa paroko:
Kijana: Baba paroko nimekuja kuungama...
Paroko akajibu: Haina haja nimesoma blog yako yote.
Kijana: Baba paroko nimekuja kuungama...
Paroko akajibu: Haina haja nimesoma blog yako yote.
Kikojozi
Mtoto akilalama kwa mama yake "mama unanionea tu, mbona baba usiku namsikia anakuuliza akojoe na unamruhusu?"
Kigugumizi
Mtoto mmoja alimuuliza mama yake swali "mama kwanini baba kila siku anapenda kulala juu yako?"
Mama alikwama kutoa jibu.
Mama alikwama kutoa jibu.
Subscribe to:
Posts (Atom)