Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 21, 2011

Ujumbe wa dokta

Jamaa aliamka asubuhi na kukuta ujumbe toka kwa dokta aliemfanyia upasuaji siku mbili zilizopita ukisema hivi:

"Tafadhali fika hospitalini mara moja, nimeshindwa nunua gazeti leo kuna sarafu yangu ya 100Tsh ilidondokea tumboni wakati nakufanyia upasuaji"

No comments:

Post a Comment