Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, December 27, 2011

Duka la madawa

Dukani yanapouzwa madawa:
Mteja: aunauza hii dawa?
Muuzaji: Ndio.
Mteja: Ni feki hii na sumu.
Muuzaji: Lakini hamna alielalamika kabisa.
Mteja: Uliona wapi maiti inalalamika?

No comments:

Post a Comment