Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 21, 2011

Mbele ya kioo

Mama mmoja alimkuta mwanae amelala huku akiwa,mbele ya kioo cha kujitazama. Mama akamuuilza "we Esther mbona umelala mbele ya kioo vipi?"

Mtoto nae bila hiyana toka usingizini akajibu "si nimelala hapa ili nijione nkiwa nimelala"
Akasisitiza "yaani nijue kweli nimelala au nipo macho."

No comments:

Post a Comment