Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 22, 2011

Hakimu na mtuhumiwa

Hakimu: Mara ya mwisho nlikuonya usirudi tena hapa mahakamani hujanisikia.
Mtuhumiwa: Mh. Hakimu niliwaambia hawa polisi ila hawakunisikiliza.

No comments:

Post a Comment