Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 16, 2011

Kengele

Mwenye nyumba wakati anatoka akakutana na mtu "wewe ni nani?" Jamaa akajibu "fundi wa kengele,nimekuja rengeneza"

Mwenye nyumba "sasa si ungekuja tangu jana fundi?"
Fundi "nipo mlangoni tangu jana nabonyeza tu kengele hamna anaekuja kufungua mlango"

No comments:

Post a Comment