Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 2, 2011

Msiba wa kipenzi

Mwanamke mmoja alifiwa na mumewe kipenzi, siku ya mazishi akaomba msaada mmoja akisema "naombeni mumzike na hii simu yake na chaja niwe nawasiliana nae." Kisha akakumbuka jambo "aahh umeme wa kuchajia hata kuwa nao."

No comments:

Post a Comment