Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 23, 2011

Jumba la makumbusho

Walipoeenda kusoma vikaratasi vya maoni ya wageni watembeleao jumba la makumbusho, walikuta kikaratasi kimeandikwa hivi:

"Kulikua na mvua kubwa nje, ndio maana nkaingia humu. Asanten kwa hifadhi"

No comments:

Post a Comment