Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, December 11, 2011

Kwenye daladala

Mlokole mmoja alipanda Daladala moja
ambayo ulikuwa inatwanga mziki Wa kidunia
kwa kwenda mbele,Mlokole: nyimbo gani mnapiga hizo, wekeni nyimbo
za Yesu"Kond a akamjibu... ..."Yesu bado
hajatoa albamu.... .."

No comments:

Post a Comment