Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 1, 2011

Mtoto wa nani?

Mtoto alizaliwa na tangu azaliwe hakuwahi ongea. Kwa mara ya kwanza siku akataja "bibi" siku moja mbele bibi ake akafa.

Akataja tena baada ya miezi "babu" ikawa vilevile. Miezi tena akataja "baba" ndipo baba alipoanza andika urithi nk. Kilichofuata akafariki dereva wao.

No comments:

Post a Comment