Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 21, 2011

Mume wa 3

Mwanamke: Mungu wangu unaonekana kama mume wangu wa tatu.
Mwanaume: Kwani una wanaume wangapi waliokuoa?
Mwanamke: Wawili tu mpaka sasa.

No comments:

Post a Comment