Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, December 12, 2011

Kwa wakili

Wakili: Inakuwaje unataka talaka kumpa mkeo mzuri kiasi hiki?
Mume: Ona kiatu changu kilivyo kizuri, lakini mvaaji pekee ndio anajua kiasi gani kinambana.

No comments:

Post a Comment