Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, December 17, 2011

Kiingereza

Jamaa mmoja wakati anapita sehemu alisikia mtu akiongea lugha ya kigeni kiinglishi. Papo hapo akanena kimya kimya akanena (kwa vile kizungu akichoongea ilikua kimobomoka bomoka mno)

"mmh huyu jamaa anaongea lugha inayofanana na kiingereza"

No comments:

Post a Comment