Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, December 10, 2011

Dereva wa daladala

Dereva wa daladala alisimamisha basi akampisha bi.mkubwa mmoja kwenye kiti chake. Abiria wakauliza "dereva vipi nani ataendesha sasa?"
Dereva akajibu "mpaka mtu ajitolee mpisha bibi huyu ndio ntarudi kwenye kiti changu"

No comments:

Post a Comment