Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 21, 2011

Mtu na mdeni wake

Jamaa alikua anamdai rafiki yake hela yake siku nyingi na kupeana kalenda tuu juu ya kulipana kila wakutanapo. Siku 1 wakati wapo bar...

Ghafla majambazi hao mara kusanyeni wallet, simu nk... Jamaa akatoa bahasha na kumpa rafiki yake.
Rafiki akauliza "hiki nini wanipatia?"
Akajibu "si ile pesa yakl unayonidai"

No comments:

Post a Comment