Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 22, 2011

"Diet"

Jamaa akipewa ushauri na dokta "sasa uanze diet, pata yai 1 tu na nusu kikombe cha maziwa"
Mpewa ushauri akauliza "sawa dokta, nifanye ivyo kabla au baada ya lunch?"

No comments:

Post a Comment