Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 23, 2011

Tip...

Mhudumu akipewa tip baada ya kumpokea mgeni hadi kwenye chumba cha hotel.
Mhudumu: Mh mh! Mzee tip kidogo.

Mzee akampatia 100Tsh.
Mhudumu: Mzee hapa kama unanitukana angalau ingekua 200Tsh.
Mzee: Siwezi kukutukana mara mbili.

No comments:

Post a Comment