Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 7, 2011

Kibweka kanisani

Jamaa mmoja alikua anampenda sana dada mmoja. Akamfuata mpaka kanisani, ilipofika wakati wa kutoa sadaka jamaa akamuwahi dada na kumuambia "ohh kuhusu sadaka acha tu ntakutolea"

No comments:

Post a Comment