Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 7, 2011

Baada ya mtihani

Baada ya kutoka chumba cha mtihani, wanafunzi walikamatana na kudundana mingumi ya kutosha. Mwalimu alipowakuta na kuwauliza kwanini wanapigana, mmoja wao akajibu; 
"mwalimu mimi mtihani wa hesabu sijajibu kitu, nimeandika jina tu, sasa huyu b.w.e. g.e nazi naye kaniiga, hajajaza kitu, ameandika jina tu sasa si itaonekana mmoja wetu amekopi kwa mwenzie halafu tutafutiwa matokeo wote!"

No comments:

Post a Comment