Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 16, 2011

Kituo cha polisi

Kijana alipofika kituo cha polisi.
Kijana: Nimekuja uliza, hao kwenye picha ukutani ni akina nani?
Polisi: Hawa watuhumiwa sugu wanatafutwa na polisi.
Kijana: Khaa! Nyie wazembe sa si mngewakamata wakati mnawapiga izo picha!?

No comments:

Post a Comment