Kuna jamaa mmoja alienda kula kwa mama ntilie, kumega tu tonge la kwanza akakuta mende maongezi yao yakawa hivi:
Jamaa: Ebo nimekula mende kwenye chakula changu.
Mama ntilie: usijali, tutakutoza tu pesa ya chakula, huyo mende ni bure
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Wednesday, September 29, 2010
Saturday, September 25, 2010
Eskot
Jamaa alienda kuomba escort ya polisi. Akaulizwa "umebeba billion ngapi au umetishiwa life?"
Akajibu "No napita na kitimoto msikitini".
Akajibu "No napita na kitimoto msikitini".
Wednesday, September 22, 2010
Talaka
Mwanaume: Rafiki yangu mi nataka mpatia mke wangu talaka.
Rafiki: Kwa nini tena?
Mwanaume: Kila nkirudi nyumbani nakuta kaficha mwanaume kwenye kabati la nguo.
Rafiki: Oh! Hiyo mbaya sana.
Mwanaume: Yaani nakosa nafasi ya kutundika nguo zangu kabisa.
Rafiki: Kwa nini tena?
Mwanaume: Kila nkirudi nyumbani nakuta kaficha mwanaume kwenye kabati la nguo.
Rafiki: Oh! Hiyo mbaya sana.
Mwanaume: Yaani nakosa nafasi ya kutundika nguo zangu kabisa.
Kwenda ulaya
Mtoto: Mama mi niliwaomba tangu mdogo kwenda ulaya.
Mama: Usijali mwanangu ngoja ngoja kidogo.
Mtoto: Ningoje mpaka lini? Sa ivi tangu mdogo ningekua nimeshakaribia kwa kutembea kwa mguu.
Mama: Usijali mwanangu ngoja ngoja kidogo.
Mtoto: Ningoje mpaka lini? Sa ivi tangu mdogo ningekua nimeshakaribia kwa kutembea kwa mguu.
Tuesday, September 21, 2010
Kichekesho
Mtoto akimuambia mama yake, "mama nikusimulie kichekesho ucheke?
Mama: Ndio mwanangu nisimulie nasikiliza.
Mtoto: Haya anza kucheka kwanza.
Mama: Ndio mwanangu nisimulie nasikiliza.
Mtoto: Haya anza kucheka kwanza.
Airport
Rubani mmoja wa ndege alipotua ndege na kumuuliza mwenzake, "leo tumetua kiwanja gani mbona tambarare kubwa na hata nyasi hamna...?"
Rubani wa pili akamjibu, "kwa sababu tumetua juu ya bahari."
Rubani wa pili akamjibu, "kwa sababu tumetua juu ya bahari."
Airport
Rubani mmoja wa ndege alipotua ndege na kumuuliza mwenzake, "leo tumetua kiwanja gani mbona tambarare kubwa na hata nyasi hamna...?"
Rubani wa pili akamjibu, "kwa sababu tumetua juu ya bahari."
Rubani wa pili akamjibu, "kwa sababu tumetua juu ya bahari."
Picha ya thamani
Wakili mmoja alimfuata kingunge mmoja na kumuambia.
Wakili: Mzee nna habari nzuri na mbaya za kukupa.
Kingunge: Oh! Okey, anza na nzuri.
Wakili: Mke wako amepata picha yenye thamani ya milioni 10.
Kingunge: Oh! Safi sana. So nini tatizo?
Wakili: Ni picha yako upo na secretary.
Wakili: Mzee nna habari nzuri na mbaya za kukupa.
Kingunge: Oh! Okey, anza na nzuri.
Wakili: Mke wako amepata picha yenye thamani ya milioni 10.
Kingunge: Oh! Safi sana. So nini tatizo?
Wakili: Ni picha yako upo na secretary.
Mchumba
Kijana mmoja alienda soma nje miaka mitano. Akaoa huko huko, siku aliyorudi Tanzania akaja na mkewe akamtambulishe kwa wazazi wake.
Siku aliyoenda alikuwa na rafiki zake watatu, wawili kati yao wasichana.
Akamuambia mama yake ajaribu mtambua yupi ndio mkwewe.
Mama akamnyooshe mlengwa.
Jamaa akauliza, "hee! Mama umemjuaje kama ndie huyu?"
Mama: Nimechukia tangu nlipomuona.
Siku aliyoenda alikuwa na rafiki zake watatu, wawili kati yao wasichana.
Akamuambia mama yake ajaribu mtambua yupi ndio mkwewe.
Mama akamnyooshe mlengwa.
Jamaa akauliza, "hee! Mama umemjuaje kama ndie huyu?"
Mama: Nimechukia tangu nlipomuona.
Adhabu!
Mtoto wa miaka mitano siku moja alimuona mama yake akiwa na baba yake kwenye majamboz, mtoto akamwambia mama yake "aanha! Kumbe mimi unaniadhibugi kwa kukinyonya kidole gumba changu."
Ngazi
Mama na mtoto wakipandisha ngazi kwenda ghorofa ya kumi kwenye apartment yao, lift ilikuwa mbovu siku hiyo.
Mtoto: Mama nikuambie kitu...
Mama: Embu nyamaza.
Mara ya pili ivoivo akajibu.
Ghorofa ya 10 huku wakiwa hoi kwa kuhema.
Mama: Enhe ulikuwa unasemaje?
Mtoto: Nlikua nataka kukuambia nimesahau ufunguo kwenye gari wa mlango.
Mtoto: Mama nikuambie kitu...
Mama: Embu nyamaza.
Mara ya pili ivoivo akajibu.
Ghorofa ya 10 huku wakiwa hoi kwa kuhema.
Mama: Enhe ulikuwa unasemaje?
Mtoto: Nlikua nataka kukuambia nimesahau ufunguo kwenye gari wa mlango.
Ujauzito
Mtoto mmoja alimuuliza mama yake mjamzito "mama... mama... Asa we unafanyaje huyo mtoto tumboni akianza kulia?"
Kuhesabu.
Watoto wakihesabu mpaka kwa kidhungu mpaka 10.
Wa 1: Akishia 4.
Wa 2: Akafikia 6.
Wa 3: Akahesabu mpaka 10. Alipoona watu wanamuangalia kwa uwezo wake mzuri akaendelea ...prince, queen, king... Nk
Wa 1: Akishia 4.
Wa 2: Akafikia 6.
Wa 3: Akahesabu mpaka 10. Alipoona watu wanamuangalia kwa uwezo wake mzuri akaendelea ...prince, queen, king... Nk
Mtoto wa kike
Mtoto alikutana uso kwa uso na wazazi wake waki-do, baba akamwambia "oh! Mwanangu, tunamtengeneza mdogo wako wa kike"
Siku moja baba alirudi home na kukuta mwanae akilia akamuuliza, "unalia nini?"
Mtoto: Yule mdogo wangu uliekimtengeneza jirani yetu memuona akimla.
Siku moja baba alirudi home na kukuta mwanae akilia akamuuliza, "unalia nini?"
Mtoto: Yule mdogo wangu uliekimtengeneza jirani yetu memuona akimla.
Sumu!
Jamaa alipiga simu kwa daktari:
Jamaa: Dokta mke wangu amekunywa sumu yangu yote halafu anajidai amelala, nisaidie nifamnyeje aamke?
Jamaa: Dokta mke wangu amekunywa sumu yangu yote halafu anajidai amelala, nisaidie nifamnyeje aamke?
Mooo!
Ng'ombe wakiongea.
Ng'ombe 1: Ng'ombe wenzako wote tunalia mooo! Wewe mwenzetu unalia meee!
Ng'ombe 2: Nlisahau waambia, najifunza lugha mpya.
Ng'ombe 1: Ng'ombe wenzako wote tunalia mooo! Wewe mwenzetu unalia meee!
Ng'ombe 2: Nlisahau waambia, najifunza lugha mpya.
Toothpick
Mteja kaingia bar.
Mteja: Mhudumu njoo. Habari yako?
Mhudumu: Nzuri tu karibu.
Mteja: Mna toothpick?
Mhudumu: Unataka ya baridi au moto?
Mteja: Namaana vijiti.
Mteja: Mhudumu njoo. Habari yako?
Mhudumu: Nzuri tu karibu.
Mteja: Mna toothpick?
Mhudumu: Unataka ya baridi au moto?
Mteja: Namaana vijiti.
Vichaa ndegeni.
Ndege moja ilibeba vichaa, sasa walikuwa na kelele. Baada ya muda kidogo msimamizi wao akatokea kwa rubani na kumuuliza mmoja.
Msimamizi/mwangalizi: Wewe! Wenzako wakwapi?
Kichaa akajibu, wanakelele sana wapo hapo nje nimewatoa kidogo.
Msimamizi/mwangalizi: Wewe! Wenzako wakwapi?
Kichaa akajibu, wanakelele sana wapo hapo nje nimewatoa kidogo.
Monday, September 20, 2010
Ajali
Ilitokea ajali, jamaa mmoja alikatika mkono akawa analia.
Mwingine akasema, "we mkono tu unalia, mbona huya aliekatika shingo halii?"
Mwingine akasema, "we mkono tu unalia, mbona huya aliekatika shingo halii?"
Mjusi
Mjusi mmoja alikuwa amesimama kwenye siling board. Ghafla akapiga chafya... Punde akapiga chafya... Alipokaribia kupiga ya tatu si akaacha kujishika azibe pua, akaanguka.
Jino na ganzi!
Jamaa alienda kung'oa jino, sasa ganzi haikuingia vzuri.
Wakati daktari anamng'oa si jamaa na yeye ananyanyuka nalo. Mchezo ulikuwa huo bwana mpaka kumaliza hoi.
Wakati daktari anamng'oa si jamaa na yeye ananyanyuka nalo. Mchezo ulikuwa huo bwana mpaka kumaliza hoi.
Sunday, September 19, 2010
Kama siafu
Mental mmoja alikua ghorofa ya 50, chini kulikua na mwanamke mnene. Alikua akimuona mdogo kama siafu.
Akashuka ghorofa kadhaa kwa awamu uku akizidi muona mkubwa. Alipofika chini akaenda mkumbatia.
Mdada mnene: We ni nani?
Mental: Nimekufahamu tangu mdogo kama siafu.
Akashuka ghorofa kadhaa kwa awamu uku akizidi muona mkubwa. Alipofika chini akaenda mkumbatia.
Mdada mnene: We ni nani?
Mental: Nimekufahamu tangu mdogo kama siafu.
Ze fumanizi
Mwarabu mmoja alimfumania mke wake aki-do na mkewe.
Rafiki: Sasa ukamfanya nini?
Mwarabu: Sa ningefanya nini na sijui english.
Rafiki: Sasa ukamfanya nini?
Mwarabu: Sa ningefanya nini na sijui english.
Sumu
Mume alienda pharmacy.
Mume: Mke wangu anataka kujiua.
Pharmacy: Vipi nikuitie ambulance?
Mume: Nahitaji sumu nkampatie.
Mume: Mke wangu anataka kujiua.
Pharmacy: Vipi nikuitie ambulance?
Mume: Nahitaji sumu nkampatie.
Mke|Ajali
Dokta: Mkeo ameumia sana kwa ajali, itabidi umlishe, umuogeshe, msalani.
Mume: Maskiini.
Dokta: Usijali, nkikutania. Amesha kufa
Mume: Maskiini.
Dokta: Usijali, nkikutania. Amesha kufa
Mapacha bar
Mapacha wawili walienda bar, pembeni kulikuwa na mlevi kalewa akasema alipowaangalia "holly shit i think i see everthing double!"
Ku-do
Wanandoa wawili walisahau funga mlango wakati wana-do. Mtoto wao akaingia, baba akasema "oh, mwanangu najaza upepo kwenye mapafu ya mama yako"
Mtoto akajibu, "haja jana yule mbaba jirani alisahau kufunga wakati anamjaza upepo mama mdomoni."
Mtoto akajibu, "haja jana yule mbaba jirani alisahau kufunga wakati anamjaza upepo mama mdomoni."
Inzi
Inzi karibu kumi walikuwa wamekizonga kinyesi cha mbwa. Ghafla mmoja akajamba, mwingine akasema "we huoni ka tunakula hapa?"
Jogoo mfupi
Jamaa: Dokta nimekuja, Jogoo wangu mfupi, kwa nini hafiki mpaka miguuni.
Siku iliyofuata akaamka akajikuta hana miguu.
Siku iliyofuata akaamka akajikuta hana miguu.
Kuungama
Kijana alipoenda kwa Padre, "nimekuja kumuungamia dhambi rafiki yangu."
Padiri akauliza, "kwa nini asije mwenyewe?
Kijana akajibu, "aah Rashidi ni muislamu."
Padiri akauliza, "kwa nini asije mwenyewe?
Kijana akajibu, "aah Rashidi ni muislamu."
Subscribe to:
Posts (Atom)