Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 21, 2010

Vichaa ndegeni.

Ndege moja ilibeba vichaa, sasa walikuwa na kelele. Baada ya muda kidogo msimamizi wao akatokea kwa rubani na kumuuliza mmoja.
Msimamizi/mwangalizi: Wewe! Wenzako wakwapi?
Kichaa akajibu, wanakelele sana wapo hapo nje nimewatoa kidogo.

1 comment:

  1. subiri nitakutumia kali kali za kucheka hadi uvimbiwe.

    ReplyDelete