Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 10, 2010

Furaha

Mwanajeshi mmoja alipoze mkono mmoja vitani. Akawa anataka jiua. Wakati yupo tayari akaona mtu mwingine ana mkono mmoja akiruka ruka...

Akaenda muuliza, "mbona kama una mkono mmoja unaruka ruka kwa furaha?"
Jamaa akajibu "nani kakuambia nna furaha? Ni nyuki kaning'ata tako."

No comments:

Post a Comment