Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 12, 2010

Muokoaji

Meli moja ya watalii moja wakati inapita walimuo mtu anahangaika kwenye maji yenye kina. Kila mtu akawa anaogopa kujitosa akamuokoe.

Ghafla jamaa mmoja akajitosa na boya la kuogelea akamuokoa.
Walipopandishwa kwenye meli akapewa kipaza sauti aongee kwa ujasiri alioufanya. Akashika kipaza sauti na kusema "namtaka alienisukumia kwenye maji"

No comments:

Post a Comment