Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 21, 2010

Mchumba

Kijana mmoja alienda soma nje miaka mitano. Akaoa huko huko, siku aliyorudi Tanzania akaja na mkewe akamtambulishe kwa wazazi wake.

Siku aliyoenda alikuwa na rafiki zake watatu, wawili kati yao wasichana.
Akamuambia mama yake ajaribu mtambua yupi ndio mkwewe.

Mama akamnyooshe mlengwa.
Jamaa akauliza, "hee! Mama umemjuaje kama ndie huyu?"
Mama: Nimechukia tangu nlipomuona.

No comments:

Post a Comment