Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 7, 2010

Jino

Jamaa alienda kwa mtaalamu wa meno, alipofika akafungua zipu ya suruali na kutoa naniliu... Dokta akasema "e-e-e! Mimi sio... Mimi ni dokta wa meno."
Jamaa akajibu, "najua, kuna jino limenasia kwenye naniliu yangu"

No comments:

Post a Comment