Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, September 18, 2010

Fumanizi

Jamaa alimuuliza rafiki yake, "utafanya nini ukimfumania mkeo na njemba?"
Jamaa akajibu, "ntamnyoa kwa chupa, na kuivunja vioo ile gari yake nyekundu."

No comments:

Post a Comment