Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, September 11, 2010

Vibonge

Kulikuwa na vibonge wakiongea.
Kibonge 1: Unene wangu mpaka mlangoni nashindwa kupita.
Kibonge 2: Unene wangu mpaka nashindwa panda daladala.
Kibongo 3: Unene wangu nilikuwa naanika chupi jirani yangu akaniuliza "unaanika tent?"

No comments:

Post a Comment