Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, September 18, 2010

Maiti

Ndege ilikuwa inasafirisha maiti. Bahati mbaya ilianguka na waliomo ndani wote wakafa. Jamaa mmoja kwa masikitiko aliposikia hiyo taharifa akasema, "maskiini, sasa maiti si imekufa tena?"

No comments:

Post a Comment