Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 17, 2010

Spidi ndogo na kubwa

Gari moja ilikuwa spidi ya 50kph, ingine ikapita kwa spidi ya 150kph. Mwisho wa siku wote wakajikuta Majerui hospitali.
Wa 50kph: Vipi tena?
Wa 150kph: Ajali bwana. Je, wewe si ulikuwa slow mbona upo hapa!?
Wa 50kph: Ulivopita nkajua injini yangu imezima nkashuka nkaangalie kumbe inatembea.

No comments:

Post a Comment