Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 21, 2010

Ngazi

Mama na mtoto wakipandisha ngazi kwenda ghorofa ya kumi kwenye apartment yao, lift ilikuwa mbovu siku hiyo.
Mtoto: Mama nikuambie kitu...
Mama: Embu nyamaza.
Mara ya pili ivoivo akajibu.
Ghorofa ya 10 huku wakiwa hoi kwa kuhema.
Mama: Enhe ulikuwa unasemaje?
Mtoto: Nlikua nataka kukuambia nimesahau ufunguo kwenye gari wa mlango.

No comments:

Post a Comment