Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 10, 2010

Paka!

Jamaa mmoja alisikia mlango ukigongwa, alipofungua akakuta jamaa amembeba paka.
Akamueka chini, paka akawa anaruka ruka huku na huko akaangusha whisky na glass. Mwenye nyumba akamfuata jamaa aliekua akiondoka akamuambia "siku ingine usije na paka kwangu"

Jamaa akajibu, "sio wangu mi nimemkuta mlangoni kwako akitaka kuingia nkajua wako."

No comments:

Post a Comment