Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, September 6, 2010

Jirani mpya

"mama nikuambie yule dada jirani yetu anaitwa nani?" mtoto akimuuliza mama yake.
Mama akauliza, "we umejuaje mwanangu?"
Mtoto: Si baba alimuita nkasikia.
Mama: Enhe alimuitaje?
Mtoto: Si Honey! Tena ukiondokaga baaba muoogaa peke yake basi anaendaga kulala kwa huyo dada.

No comments:

Post a Comment