Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, September 22, 2010

Talaka

Mwanaume: Rafiki yangu mi nataka mpatia mke wangu talaka.
Rafiki: Kwa nini tena?
Mwanaume: Kila nkirudi nyumbani nakuta kaficha mwanaume kwenye kabati la nguo.
Rafiki: Oh! Hiyo mbaya sana.
Mwanaume: Yaani nakosa nafasi ya kutundika nguo zangu kabisa.

No comments:

Post a Comment