Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 19, 2010

Nimesahau bukta

Jamaa mmoja alienda nyumba moja kugonga. Mlango ulipofunguliwa akaulizwa na mwanaume aliemfungulia mlango, "nikusaidie nini kijana?"

Kijana akajibu, "samahani kwa usumbufu ila nimekuja nimesahau bukta yangu ya ndani chumbani kwa mkeo?"

No comments:

Post a Comment