Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, September 29, 2010

Mende

Kuna jamaa mmoja alienda kula kwa mama ntilie, kumega tu tonge la kwanza akakuta mende maongezi yao yakawa hivi:
Jamaa: Ebo nimekula mende kwenye chakula changu.
Mama ntilie: usijali, tutakutoza tu pesa ya chakula, huyo mende ni bure

No comments:

Post a Comment