Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, September 8, 2010

Funguo ya pingu

Mtoto mmoja baba yake askari magereza, alienda na kumuambia baba yake, "baba naomba ufunguo wa pingu?"
Baba kwa mshangao akauliza "enhe! Za nini?"
Mtoto akajibu, "si kuna wafungwa wawili wapo nje wametoroka jela."

No comments:

Post a Comment