Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, September 11, 2010

Chai

Jamaa mmoja mgahawani akinywa chai ghafla akaja jamaa mbabe mmoja na kuinywa chai yake, akanena "kaka sio vizuri hivyo."

Kisha akaendelea kusema, "leo nimefukuzwa kazi, wiki iliyopita mama yangu kafa, nimemfumania mke wangu na mwanaume, leo nataka kujiua umekunywa sumu yangu kwenye chai."

No comments:

Post a Comment