Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 17, 2010

Ya leo ndogo

Mtalii alienda restaurant, meza ya jirani akaona jamaa anakula mlo akauli ile nini akajibiwa ni korodani za ng'ombe.

Akaomba aletewe akaambiwa ziliwepo hizo mpaki wiki ijayo kwenye mashindano ya ng'ombe dume na binadamu.

Siku ikafika mtalii akaenda ili awahi oda yake, alipoletewa akauliza "mbona za leo ndogo sio kama za siku ile?"
Mhudumu akajibu, "leo ng'ombe dume ndio kashinda."

No comments:

Post a Comment