Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, September 6, 2010

Don't drink & Drive

Jamaa mmoja alirudi kwake, mkewe akamuuliza "vipi mume wangu mbona... Kwa miguu?"
Mume akajibu "nimekuta kibao kimeandikwa don't drink and drive ivo nlipokunywa tu maji nkaiacha pale pale gari"

No comments:

Post a Comment