Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 10, 2010

Mwandishi wa habari

Mwandishi mmoja wa habari alikwama kwenye foleni kubwa iliyosababisha hiyo foleni. Akaamua atumie muda huo kushuka akachukue habari ya kuifanyia kazi...

Basi akapenya penya kwenye umati wa watu ili aone na kufanya kazi ya uandishi akakuta aliegongwa ni ng'ombe.

No comments:

Post a Comment