Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, September 11, 2010

Goroli

Jamaa mmoja alienda kwa dokta:

Jamaa: Dokta golori yangu moja kubwa ingine ndogo mpaka marafiki zangu wanicheka.
Dokta: Ebu tuone.
Jamaa akashusha zipu kusha suruali...
Golori ya jamaa moja ikagusa mpaka chini.
Dokta akaanza kucheeka mpaka akagalagala.

Jamaa akamuambia dokta "sasa dokta hapo hujaiona kubwa yake"

No comments:

Post a Comment