Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 19, 2010

Kama siafu

Mental mmoja alikua ghorofa ya 50, chini kulikua na mwanamke mnene. Alikua akimuona mdogo kama siafu.
Akashuka ghorofa kadhaa kwa awamu uku akizidi muona mkubwa. Alipofika chini akaenda mkumbatia.
Mdada mnene: We ni nani?
Mental: Nimekufahamu tangu mdogo kama siafu.

No comments:

Post a Comment