Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 19, 2010

Ku-do

Wanandoa wawili walisahau funga mlango wakati wana-do. Mtoto wao akaingia, baba akasema "oh, mwanangu najaza upepo kwenye mapafu ya mama yako"

Mtoto akajibu, "haja jana yule mbaba jirani alisahau kufunga wakati anamjaza upepo mama mdomoni."

No comments:

Post a Comment