Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, October 1, 2010

Godoro

Jamaa alikua anamfukuza mtu alietoka na godora lake kwake. Mfukuzwaji alipoona jamaa bado anamfukuza akaingia kituo cha polisi.
Polisi: Wewe vipi na godoro?
Jamaa: Kuna mtu ananifukuza mi mwizi wake.

Mwenye godoro akafika, "samahani polisi huyu ni ndugu yangu ana matatizo ya akili kidogo naomba niondoke nae tafadhali."

Jamaa: Hapana jamani mimi mwizi wake nimemuibia hili godoro.....

No comments:

Post a Comment