Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, October 17, 2010

Sigara

Kijana mmoja alienda duka moja na kuuliza:
Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Hapana ni kwa pakti tu.

Jamaa akaondoka, kesho yake na kesho kutwa akaja tena. Siku ya mbele yake akaamua kujiandaa!
Alipofika muuzaji akamjibu:

Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Ndio.
Kijana: Shilingi ngapi?
Akatajiwa na jamaa akafungua pakti moja na kumuuliza.

Muuzaji: Unataka ngapi?
Kijana: Nataka 20.
(pakti moja inabeba sigara 20)

No comments:

Post a Comment